The Chant of Savant

Tuesday 14 September 2010

Hivi hawa nao ni wanadamu au ?

Taarifa zilizopatikana kutoka London Uingereza ni kwamba daktari mmoja wa kiingereza mwenye asili ya kihindi na mwanae walimshikilia na kumtumikisha mama wa kitanzania aitwaye Mwanahamisi Mruke (46) tangu mwaka 2006.

nani anaweza kuamini kuwa katika karne ya 21 Mruke alikuwa akilipwa paundi kumi za Uingereza kwa mwezi? Nani angeamini kuwa jinai hii ingetendwa na mtu anayejiita mtanzania ingawa kwa sasa ana uraia wa Uingereza ambao ameupata kutokana na pasi ya kusafiria ya Tanzania sawa na wahindi wengine ambao huja kuzuga na kutumia pasi zetu?

Daktari Saeeda Khan (68) alimrubuni Mruke na kumvusha hadi Uingereza alikomshikilia mateka na kumtumikisha kama mtumwa huku akilala jikoni na shuka moja pamoja na baridi kali ya Ulaya. Ni unyama kiasi gani? Je mamlaka za Tanzania baada ya kupata habari za ushenzi huu zimefanyanini? Zifanye nini iwapo jamii hii nyemelezi ndiyo inadhamini wezi wapenda madaraka kuwa madarakani na kulipa fadhila? Rejea kushindikana kukamatwa kwa Rostam Aziz, Ketan Somaiya, Jeetu Patel, Shailesh Villani wa rada, Andy Chande na majambazi wengine wa kihindi wakishirikiana na majambazi wa kiswahili kama Andrew Chenge, Dk Idris Rashid, Nazir Karamagi, Edward Lowassa, Ridhiwan Kikwete na wengine kabla ya kuwataja majambazi wa kisomali kama Aden Rage, Abdulrahaman Kinana na wengine.

Kuhakikisha unyama na ushenzi huu unafanikiwa, Khan alikuwa akimvisha Mruke kisasa na kutomruhusu kutoka nje bila ya kuwa naye mumewe au mwanaye kiasi cha kuepa jicho la majirani. Hii imewashangaza majirani wengi. KWa miaka minne Mruke alikuwa akila mabaki yanayobakizwa na 'mabwana' zake waliomteka. Ni ukatili kiasi gani?

Leo utawaona kunguru nao eti wakigombea ubunge kupitia Chama Cha Mafisadi ili kuwatumikia lakini wabongo kwa makengeza na chongo huwaamini. Hata hivyo tuna mikoa yenye kukaliwa na mataahira na waroho wanaohongwa upuuzi wanaowapigia kura hawa kunguru Pamoja na India kuwa na watu weusi, ni wangapi wanaishi maisha mazuri au kuwa na fursa hata kuingia kwenye siasa? Kuna haja ya kubadilika. Kwani kila walipo kunguru huakikisha wanaweka mfukoni watawala mbwa na vipofu na kuondoka na utajiri huku nyuma wakiacha umaskini wa kutisha. Hivi karibuni imegundulika kuwa mtoto wa rais wa Afrika Kusini aitwaye Duduzane Zuma anatumiwa na kunguru kuhujumu nchi hiyo. Hii ni syndicate ya kuhujumu kila nchi ili kunufaisha ukunguruni.

Hili nimelijadili sana kwenye kitabu changu cha NYUMA YA PAZIA kitakachotoka hivi karibuni. Angalieni unyama huu wabongo muamue wenyewe.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Inasikitisha sana yani!:-(

Anonymous said...

KWanini tusiwachinje hawa mbwa waliojazana nchini mwetu?
Well done kwa kutuletea habari hii yenye kuamsha hasira.