The Chant of Savant

Thursday 14 October 2010

Leo ni siku ya kumkumbuka Nyerere


Hivi ndivyo Chama Cha Mapinduzi (CCM) alichokiasisi Marehemu baba wa taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere ilivyojikuta katika 'kumuenzi' kwa kumsanifu.
Kwa wenye mapenzi na Tanzania poleni sana kwa msiba huu wa kuwa na majambazi kwenye serikali.
Katuni kwa hisani ya gazeti la Nipashe.

1 comment:

Anonymous said...

Katuni hii imesema yote. Big up saaana.