The Chant of Savant

Tuesday 9 November 2010

Hongera maalim Seif na Lipumba kurejea CCM kinamna




Wengi wanajiuliza kama siyo kushuku. Je usuhuba na ushirika wa mwenyekiti wa CUF na katibu wake na CCM una tija kwa taifa kwa namna yoyote?. Je usuhuba huu utadumu? Je ushirika huu utaikuza au kuiua demokrasia nchini? Je kupewa kipande cha utawala visiwani kutalinufaisha taifa au kuliweka msambweni? Je CUF kama TLP ndiyo imerejeshwa CCM?

Kwanini serikali ya umoja wa kitaifa upande mmoja na si nchi nzima? Je ushikaji huu ni kwa maslahi binafsi au ya wanachama? Maswali ni mengi kuliko majibu.

No comments: