The Chant of Savant

Saturday 12 February 2011

Je hawa ndiyo vinara wa ufisadi Tanzania?

Je orodha imekamilika? Unaweza kuongeza wale unaodhani wameachwa nje. Tunaibandika kama tulivyoipokea toka Jamii Forums leo.









No Questions Taifa la Tanzania lina angamizwa na hawa Mubarak wetu hapo juu. Juhudi kubwa wanazofanya kulindana kuliharibu Taifa la Tanzania na kuhakikisha "Watanzania Wanawaogopa" Taarifa tunataka wana-CCM muwafikishie ni hivi:
Watanzania Tupo Hatua kumi Kufikia Tahrir Square na Tukifika Haturudi Nyuma

Chanzo: Jamii Forums

No comments: