The Chant of Savant

Saturday 19 November 2011

Breaking News Saif-al Islam Gaddafi akamatwa


Kila chenye mwanzo kina mwisho. Hatimaye Ridhiwan sorry Saif al Islam Gaddafi mtoto wa imla wa zamani wa Libya aliyeuawa mwezi mmoja uliopitwa amekamatwa na kuashiria mwisho wa utawala wa kimla wa Gaddafi na ukoo wake. Je maimla wanaotumia familia zao kama nguzo ya utawala hasa katika Afrika Mashariki, wamejifunza nini? Kijana mwenye miaka 39 aliyetikisa dunia si kwa sababu ya juhudi zake bali, baba yake kuwa rais hadi yeye kuwazia kuwa rais siku moja, kama baba yake, ameisha kwa aibu ya mwaka, mwezi mmoja baada ya kuuawa kwa baba yake. Tieni akili wahusika.

No comments: