The Chant of Savant

Sunday 6 November 2011

EID MUBARAK NJEMA

Kapuku akiwa kwenye vazi la "kidini"
Prince Al-Waleed bin Talal Al-Saud na mkewe Ameerah Al Tawaleel
Jakaya Kikwete na mkewe na Al Waleed na Ameerah Al-Tawaleel
Pamoja na kuwatakia Idd Mubarak njema waumini wa kiislam, tunawaletea picha za viongozi wao hasa kutoka Uarabuni na vivazi vyao. Wakati wenzetu wanwavisha mahema wake na dada zao, waarabu wanapiga pamba kinoma. Mmeipata hiyo wajameni? Kwa wenye madaraka ninja kwa wake zao haramun! Tufakari na kujifunza. Unaweza ukaachwa ukaadhini umengojewa.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Nina imani kuwa hakuna kuchelwa katika kutakiana kheri.Kila la kheri kwa EID mUBARAK.