The Chant of Savant

Thursday 15 December 2011

Rais mwingine atupwa jela ni Chirac (Bulldozier)


Mwezi Desemba unaingia kwenye kumbukumbu kama mwaka wa uwajibishaji. Mwaka 2011, kadhalika unaingia kwenye vitabu vya historia kuwa mwaka wa mapinduzi. Siku chache baada ya rais wa zamani wa Israel Moshe Katsav kutupwa gerezani kwa ubakaji, mwenzake wa Ufaransa Jacques Rene Chirac amepewa kifungo cha nje kutokana na kupatika na hatia ya matumizi mabaya ya fedha za umma. Ulaya na mashariki ya kati wamefungua pazia. Je wezi wetu watanusurika iwapo rais wa taifa fadhili kama Ufaransa anaweza kuhukumiwa kifungo. Kwa habari zaidi, BONYEZA HAPA.

No comments: