The Chant of Savant

Sunday 27 May 2012

Je Museveni kurithiwa na mkewe?

Janet Museveni has emerged as the preferred successor to the president, with the full backing of her husband, who is also chairman of the ruling National Resistance Movement.
Habari zilizotoka ni kwamba rais wa Uganda Yoweri Museveni ameunga mkono nia ya mkewe kutaka kugombea urais. Hii ilitokana na hivi karibuni Museveni kuhojiwa na  NTV Uganda na kusema kuwa hatakuwa madarakani atakapofikisha miaka 75 ya kustaafu. Hivyo hii ilifungulia majadiliano na tetesi za ni  nani atamrithi Museveni huku ikisemekana kuwa NRM ingependa Museveni arithiwe na mkewe. Je mwanae aliyeandaliwa kwa muda mrefu atakubali? Je wanganda watakubali tena kuwekwa kinyumba na Museveni? Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: