The Chant of Savant

Monday 28 May 2012

Kigoda amerudi Urafiki kuibinafsisha au kuihujumu?

Taarifa kuwa waziri wa Viwanda na Biashara Abdallah Kigoda (Pichani) ametembelea kiwanda cha nguo cha Urafiki zinatia kichefuchefu. Hii ni kutokana na ukweli kuwa akina Kigoda na Benjuamin Mkapa kutaka kukibinafsisha lakini baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere akakinusuru. Aibu. Bahati mbaya wanasiasa nyemelezi huwa hawana kumbukumbu. Shame on you Kigoda!

No comments: