The Chant of Savant

Friday 11 May 2012

Tajiri bila Zuria, ombaomba amua mwenyewe

Image Detail
Rais Barack Obama akishuka kwenye Airforce One. Hakuna zuria jekundu


Mvua inanyesha, rais Jakaya Kikwete anashuka kwenye ndege huku zuria jekundu likiharibiwa na mvua. Kwa utajiri upi?


No comments: