The Chant of Savant

Thursday 31 May 2012

Waziri mkuu anapotumiwa viungo vya binadamu


Waziri mkuu wa Kanada Stephen Harper wa chama cha wahafidhina amefanyiwa kitu ambacho hakijawahi kufanywa kwa kiongozi wa taifa hili. Ametumiwa viungo vya mtu kwa njia ya posta.  Katika vifurushi  viwili vilivyokuwa na anwani ya ofisi yake, kulikutwa miguu miwili ya binadamu. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: