The Chant of Savant

Thursday 28 June 2012

Hivi kweli Jakaya ni mzima?


Rais Jakaya Kikwete ameuchapa usingizi utadhani hana kitanda.

5 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Usingizi hauna cha raisi unapochoka ni kuchoka tu na usingizi unakuja....

Anonymous said...

duka la picha?
kwani wewe hulali huyo pia anahitaji usingizi au?

Anonymous said...

Wacha kumdhalilisha Rais wetu hiyo picha ya kutengeza tafuta original photo u will see the diff

Anonymous said...

he he he he he kazi ipo mwaka huuu KIRUUUUUUUUUUUUUU

Anonymous said...

Rais anadhalilishwa au anajidhalilisha?