The Chant of Savant

Saturday 28 July 2012

Kuna nini kwenye Mahama na umakamu wa rais Ghana?

Pia jina John nalo linatawala kwenye urais wa Ghana
John Kuffor, John Atta Mills na sasa John Mahama!


John Dramani Mahama rais mpya wa Ghana


Aliu Mahama makamu wa rais wa zamani wa rais wa Ghana

John Dramani Mahama rais mpya wa Ghana aliyechukua urais baada ya kifo cha rais John Atta Mills alikuwa makamu wa rais kuanzia mwaka 2009 hadi alipochukua nafasi ya bosi wake. Kuna jambo la kufurahisha. Ni kwamba mtangulizi wake kwenye nafasi ya umakamu wa rais naye aliitwa Mahama yaani Aliu Mahama amabaye alikuwa makamu wa rais kuanzia Januari 7, 2001 hadi  Januari 7, 2009.  Tofauti ni kwamba Mahama John ameweza kuwa rais wakati Mahama Aliu hakuwahi kuwa. Nani anajua huko tuendako?

No comments: