The Chant of Savant

Wednesday 19 December 2012

Tuna rais mwingine ke!


Taifa la Korea Kusini limeandika historia baada ya kuchagua rais mwanamke wa kwanza tangu kuundwa kwa taifa hili. Rais mteule Park Gyeun-hye anaingia kwenye vitabu vya historia kuwa rais wa kwanza mwanamke kwenye taifa  hili. Je Gyeun-hye ni nani? Tafadhali GONGA hapa kwa habari zaidi.

No comments: