The Chant of Savant

Saturday 5 January 2013

Kenya haiwalindi vihiyo


Waziri mdogo wa Makazi nambunge wa Starehe nchini Kenya Askofu wa kujibandika, Magreth Wanjiru hatagombea Ugavana wa jiji la Nairobi 

uchaguzi ujao. Hii ni kutokana na kukutikana ameghushi shahada kiasi cha kujiita Daktari wakati ni kihiyo wa kawaida. Hii ni tofauti sana na Tanzania ambako vihiyo wanaojulikana kama vile Mary Nagu, Makongoro Mahanga, Diodorous Kamala, Emanuel Nchimbi, William Lukuvi, Didace Massaburi na wengine wanalindwa hata kufikia kuteuliwa kwenye vyeo kama uwaziri na kuchaguliwa umeya. Kwa habari zaidi GONGA hapa.

No comments: