The Chant of Savant

Monday 15 July 2013

Value Added Tomfoolery


Namna hii VAT itageuka sera ya watawala ya kukuza uchumi na ulaji wao. Je watanzania wataendelea kulikwa kienyeji na kila kibaka kila uchao kwa visiongizio vya Value Added Tax au Tax Added Value na upuuzi mwingine? Ingawa hiki ni kibonzo, huu ndiyo ukweli wa mambo hata kama unauma na kuudhi kupita kiasi. Tafakarini.

No comments: