The Chant of Savant

Friday 20 September 2013

Hongera Kikwete kukabili mihadarati




Rais Jakaya Kikwete alikaririwa kuwa atapamba sorry atapambana na biashara ya mihadarati. Kwa mbinu ya Kikwete kula na kunywa na mateja huku akikalia majina ya wauza unga sijui nani anamdanganya nani? Kazi kweli kweli kama mbinu yenyewe ya kupambana na vita ni hii. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

No comments: