The Chant of Savant

Friday 24 October 2014

Hii nayo imekaaje?

 Ina maana kuna akina Rweyemamu wengine ambao hawajatosheka siyo? Kila mtu anataka kulipwa fadhila. Sasa wangoje jamaa aende kuchunga mbuzi huenda watafadhiliana huko kwa kupewa japo mananasi kama si ahadi ya maisha bora baada ya Ikulu.

No comments: