The Chant of Savant

Saturday 28 February 2015

John Komba afariki

 
Habari tulizopata ni kwamba Mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM) John Damian Komba hatunaye tena.  Atakumbukwa kwa nyimbo zake na kuuchapa usingizi mjengoni  ukiachia tishio la kwenda porini kama Katiba mpya ingepita.

No comments: