The Chant of Savant

Friday 27 March 2015

Baada ya uchaguzi ndoa na Kinana na wananchi itavunjika

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfNHsxeQJc8S163v0Gm7RvHwMZc1aWY9c8sQCmxlGwobSrtqR0SkDy7Le7Q8J8vnPkso4KyH7G0LiSuuubWY06YVHNt4FllozDHI-x9xQWECteAKgzG0Q7NNB6PRS7bcib64VT_e8YvOB5/s1600/20.jpg
Sikujua kuwa uongozi unaweza kugeuza sanaa na maigizo kama unavyoona hapa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana anavyowageuza mabunga wananchi ili wachague chama chake.Laiti angeelekeza nguvu hii kwenye kujibu tuhuma dhidi yake za kusafirisha nyara za taifa ingeingia lau akilini. Laiti wananchi wangejiuliza ilipokuwa serikali tangu kupata uhuru hadi leo ndiyo ikumbuke kuwapatia maji ambayo kimsingi ni haki yao.

No comments: