The Chant of Savant

Sunday 28 May 2017

Magufuli Amtumbua Kamishina Mkuu wa Polisi

Image result for photos of mangu and sirro
Image result for photos of muhongo and magufuli
Mwezi wa Mei utaingia kwenye historia kama wa uamsho wa utumbuaji ambao anaufanya rais John Magufuli. Hii ni baada ya kuwa amelaza zoezi la utumbuaji kidogo, juzi Magufuli alimtumbua rafiki yake aliyekuwa waziri wa Madini na Nishati profesa Sospeter Muhongo baada ya kutimua watendaji na bodi wengi wa Mamlaka ya Ukaguzi wa Madini au Tanzania Mineral Audit Agency (TMAA). Kama haitoshi, leo amewashangaza watanzania kwa kumtumbua Kamishina Mkuu wa Polisi (IGP) Ernest Mangu na kumteua Kamada Simon Sirro kuchukua nafasi yake. Nadhani sasa wengi wanangojea kujua ni lini atamtumbua Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda aka Daudi Albert Bashite.
Image result for photos of magufuli and makonda

No comments: