The Chant of Savant

Thursday 29 June 2017

Ulimbukeni, umalaya na uoza kimaadili Magufuli aingilie

Wengi walimlaumu rais John Magufuli kusema wazi hataruhusu wasichana watakaopata mimba wasirejee mashuleni. Ushahidi kuwa Magufuli hana la kufanya zaidi ya kuwa na msimamo mgumu kama aliochukua ili kurejesha heshima ya taifa letu. Watoto wanaoshobokea ujinga toka Ulaya wanapaswa waadhibiwe vilivyo hasa wakati huu tunapopambana na mimba za utotoni na ukimwi. Wanaoruhusu majumba yao kutumika kufanyia ukahaba wanapaswa nao kuwajibishwa kwa kushitakiwa hata kutaifishwa nyumba na magari husika.

No comments: